Chelsea Vs Sevilla Tonight at 10 PM

This match has got to be sweet!

[ATTACH=full]329655[/ATTACH]

Tuko sawa. All suited and booted in blue. Twende Chelsea twende…

graphics guy wa Betvantage Yuko down… eflier looks like crap.

Chelsea to cry today

Lampard is clueless…no tactics no system. The only good thing is away goals get me some beer money to counter the embarrassing performances.

Nafikiri chelsea atafungwa, backline yao haina mtu mzoefu wa kuongoza wengine hata mechi iliyopita waliyosuluhu ilionyesha ni jinsi gani Zouma na mwenzake hawawezi ulinzi.

Pia mendy ni majeruhi hivyo kepa atadaka. Kepa siyo mzuri kudaka mipira ya mbali lakini pia msimu huu imekua ngumu kwa kepa kusecure clean sheet. So naamini ataruhusu magoli iwe isiwe.

Sevilla kwa upande wao hua wanacheza with a compact defense na wana strikers wazuri.

So chelsea wanachapwa leo.

GG and over for Chelsea

D.Kiev to maul juventus

Chelsi ni ya watu wa boda