clumsy and is always breaking things

l just dont like clumsy people who always breaksomething kila time…yani unapatia msee simu yako ata 2minz hazijaisha ameangusha na screen imevunjika…na wewe tangu ubuy hujawai angusha :frowning:

then kuna wale ladies kila time akionysha vyombo amevunja glass na sahani…

then kuna wengine akikutembelea anachokora remote hadi anatoa battery zake…eventually remote unaskia ati haifanyi kazi :frowning:

then kuna wengine mabeste huomba movies especially neibas…(kwanza mimi l prefer kukupatiya movie free kuliko nikupatiye uwatch urudishe na scratch) unampatiya then harudishi ama akirudisha imevunjika…kama kuna clone ingine ilinipataa kejani nikiwatch Godfather iyo movie nilibuy original blueray…nyangau ikaniomba ikapoteza ikarudisha case pekee :frowning:

then kuna watoi wengine wuuuui ata kama tommy anapenda watoi…wengine apana…mtoi anatembea kwako asha rarua kiti ama ameangusha dispenser :frowning:

kwanza ukiwa na clumsy girlfriend utalia…vile yeye huangusha glass ndio ata angusha mtoto

halafu kuna wale old timer bado clumsy…manze example unajitahidi kubuy your old man simu ndio ukuwe unampigia na kumtumia mpesa…lakinj paps hakai na simu over one week akilewa anasahau kwa bar…unambuyia hadi ile techo ua 1500 inakuwagaa na chain ya kuvaa kwa neck bado anapoteza :frowning:

wewe ushawai kuwa na clumsy situation in your Life?

10 Likes

how come most of these clumsy people dont mess their stuff

6 Likes

:smiley: :smiley: l wonder pia zao hawa angushi

1 Like

The first househelp I ever had… I am damn sure ule kwao alikuwa anapewa chakula na vitu za plastic. Reached a point mamaa had to start subtracting some amount from her salo. Ile imekuwa mbaya mpaka unashukuru mungu vijiko ni vya chuma na carpet ni material.

2 Likes

kwani alikuwa ana angusha sahani akikula :smiley:

kuna time nilipataa mlango ya fridge imetokana …ati ilitokana nikipanguza … …ushawai skia upuzi kama iyo

8 Likes

:D:D:D:D:D:D:D

Ni wale watu wa weak ama sijui ni clumsy hands. Hehehehehe.

Explanations za mboch ni vitu zinafaa ziandikwe kwa guiness book of records!!!

:D:D:D:D:D

Kwani hizi ni viti aina gani? ama wanakujanga na wembe?

1 Like

hahaha…

Mimi hushanga tu niaje mtu anaeza poteza ID (national/school/work) mara kama kumi…naonanga watu na Duplicate 10 nashanga sana!

kwanza wife akivunja vikombe ama plates huyo aende home…ata kuna ngoma yasema ivo

hehehe, mimi beste yangu alikua clumsy sana but nilkua namwelea tuksha kata maji na avoid kula kejani, but of late sioni akiwa clumsy sana, siz wangu damu mwenye namfwata akiwa mtoi alikua extremely clumsy, time yake kuosha vyombo jo, ilikua nyaunyo but of late pia yuko chonjo, but mafala careless na vitu kama CD na kuchokora remote, hiyo nayo kaa kando, kuja na empty DVD I will burn 4u sare,

[SIZE=2]

[/SIZE]
:D:D:D

Hao hukuja hadi ni wire ama msumali. Watoi kuokota stuff ovyo ovyo.

1 Like

Hao wenye huweka scratches kwa Discs hubore. Unaweza dhani wamesugua ukuta nayo, wengine hupaka mafuta ya kupika na kujaza fingerprints kwa playback side.

2 Likes

Kuna kamoja kalivunja toilet seat, kukauliza kakasema kalikua kanatumia loo ndio ikavunjika, na ukikaangalia ni ka laptop unabaki zile za aaiih?

2 Likes

aaaaaiiii…

Huyo alikua ana swing nayo

yani ata explanation yake haikuwa inamake sense…

@Mathaais na wewe umekaa uko bila any issue nayo hadi unaletangaa mamomo na haijawai vunjika :smiley:
@danji1 huwa nashanga after kuwatch movie kwani alitumia cd kubrush nayo viatu…mimi huwauliza huwezi maliza kuwatch movie urudishe kwa case ama kwa ile paper yake

@colombo-Colombo atleast hao walipunguza kuwq clumsy…sasa noma ni uende resturant upate waiter clumsy anakumwagia supu na fombe…halafu ukizusha anaweza futwa job na manager na hii life vile imekuwa noma :frowning: ata @uwesmake hupost picha ya gilbeys ile ile moja alipost last year enyewe ni kubaya

2 Likes