Code

Your compiler before Stack Overflow
[ATTACH=full]699[/ATTACH]

Then you discover Stack Overflow and post your crappy code…people on SO go like
[ATTACH=full]700[/ATTACH]

Your reaction to the new solution you receive
[ATTACH=full]701[/ATTACH]

Then your friends ask about your new code
[ATTACH=full]703[/ATTACH]

2 Likes

Sasa unaongea juu ya nini? Au nani?

Hahahaha

Yo ni programmer tu random…place gani inakuchenga? Ama google Stack Overflow ka huijui.

Hakuna kitu unajua jinga hii.ni mapaka ndio unaweza ku upload.wannabe.

Really dude? Umesoma nikiringa kuhusu vile najua anywhere kwa hiyo post? It’s a freaking joke lighten up…seriously.

Hizo mapaka zime overflow ama?

Hahaha dope shit mhan…

Enyewe SO ni life saver. What would we do without it?
@brayo ile message ya pic1 ni yako

hahahahahaha thats intresting