coldpili archives kiasi

Nimeangukia gazeti ya 1999 leo nikasema nione maneno nikapata katun ya uncle ya anko nyap akinyanyaswa na anko ya @introvert

Ni hayo tu kwa sasa wacha ni deal na defaulters

[ATTACH=full]126694[/ATTACH]

21 Likes

:D:D

1 Like

:D:D:D

2 Likes

Uncle unaenda blankets and wine? Nimeskia kutakuwa na momo na unaweza meza gilbeys mob sana

2 Likes

Niaje msee wa ufc?

1 Like

2002 inakuwa aje 1999

2 Likes

Shocks ulisomea literature shule gani ?

Mkisii niko powa

1 Like

Lazima nipeleke bibi na huko mimi hunywa Jameson tuuu

2 Likes

Iko when AFF

Uncle hizi banks zitamalisa watu.

1 Like

Swaf!

1 Like

:D:D
Panya toa kipara hapa.

1 Like

Branch ya akina Ankoli iko neiba hapa job naona wamechota mbuzi na sofa mzee. Hio sofa labda wauze mia moja.

2 Likes

Hapo ni kupiga mjamaa psychological warfare

2 Likes

Ankoli huwanga KWFT, Ndio ako na umama hivi.

1 Like

:D:D:D:D na file fyiatu fyake @pseudonym alipiga picha na kipara @introvert huchora.

I hope hautabeba hile pranketi yako ya man cave aka kichinjio…:confused:o_O

3 Likes

Aviator cheza chini

it’s 2012

3 Likes