Nitume mini ama picha nikikamua mudfish Mesani, RUMXB na Stan b na ondes napitia, @mokanika na @uwesmake niletee nyingi mumi
Sio kwa ubaya lakini wasee uenda ocha wakati ya Easter in my eyes hawana akili na wanatabia ya kiocha ocha hivi.
Mimi huwa nayo Sana Bana, but ngoja Nifike kismu I see my mum, sweep inakuja, then tuma kinywaji, naieleweke niligrow ocha
Go see your parent. Commendable.
Wamenunua cladi za Easter :D:D
[ATTACH=full]234359[/ATTACH]
Lovely city but stanb ilichapa don’t waste your time there!
Ukifika Muhoroni holla.
Kisumu mutwange hyacinth Tunataka kamongo live
Mnaenda ocha Friday alafu muanze rush ya kurudi Nairobi on Sunday or Monday …saizo PSVs zimeongeza fare 3 x fold. Muanze kulia serikali saidia on the 7pm news.
Tuko na personal cars. Hatutambui PSV
Enda ocha polepole.
Drink responsibly
[ATTACH=full]234371[/ATTACH]
Hiyo siyo shida yako boss, deal na ivone matako chapati, na wanyanye, bila pupa, Sisi tunapambana na Hali yetu n we proud,
Jam nyingi, sitakula lakini Makalu lazma nikiwa naks
Matako ya shoste unajua hata njia ya kwenda kwenu ocha ama hakuna kitu kaa hiyo
Kamano Jaduong’ ambia iyo iyo kichwa ya mbuta ukweli wote. Usisahau kumuodo mbuta properly. Journey mercies
Kamongo yaaja, nt
Kamongo na mumi
Hapo no Salgaa?
Hapo sawa
Natambua zote,Baba,kwani panyachieth analipa ndo aongeee
Leo barabara ni mteremko nimeenda tao na nikarudi mtaani in less than an hour…io holiday inafaa muongezewe wiki moja.