Cooking with Mujwahuki inspired by Gio

[ATTACH=full]122300[/ATTACH] Wadau hii ndio inaitwa fried rice and smoked meat. Chakula ya bachelor.

13 Likes

hapana tambua nyama haiko marinated #GioThings

9 Likes

CID 1 kwani pombe imeisha kwa kichwa.

naelekea nyumbani… nangojea prospect aseme atarudi kesho nyumbani nibebe.

Tafuta khubibi uwache hii nomadic life.

6 Likes

That’s a restaurant though, hio si crib ya bachelor

1 Like

Tupikie kuku sasa to celebrate birkini edition[ATTACH=full]122301[/ATTACH]

8 Likes

Hii nyama iko marinated then smoked alafu on the mix kuna pia mushrooms.

Machakura ya hoteli hapana tambua.

3 Likes

Thats delicious Stanley Mujwahuki.

1 Like

Unabomoa kabati Sunday!

1 Like

wapi Ugali ? o_O

3 Likes

Leta mahindi ya serikali kwanza

good food but presentation iko a bit wanting.Take it from a chef.

1 Like

Unga ya ukweli ni ile ya kisiagi haiko Sifted

1 Like

Hii kuku iko na knocked knees:D:D:D:D

2 Likes

@Mujwahuki unatoanga miwani ndo ule?

1 Like

Kwani miwani ni mdomo?

1 Like

Akila nini? :p;)

Do you smoke the meat yourself?