Corona Virus lessons it taught me.

The covid-19 ,will forever haunt us .
Kuna time it had created fear n depression, money seemed useless.

Kuna time I watched France 24 t.v channel nikaona design watu wanakufa pale Italy na equado appetite ya food ikapotea, if u asked me Mimi nilikuwa naona huu NI mwisho wetu binadamu …

Been a regular in cbd Nairobi , I paused …every Monday hungenikosa hapo nyamakima au river road nikinunua accessories … I remember Kuna that Monday a week after Corona started in wuhan , nilikaa hapo kwa ile statue ya tom Mboya imevunjika side moja , rumours are ni watu was gormahia walifanya hiyo ujinga… Nikakula yengs na macho for kitu 1hr before boarding hizo nganya huwa hapo za Juja na Thika, I always smell something fishy mbona Kenya mpya ifukuzwe hapo CBD hizi ma3 ziwachwe , anyway there is nothing I can do …

5 days am having this flu like symptoms, dry throat, weak joints n dizziness , 1st day I take some lemmon n hot water … It gets worse … Kucheki kwa t.v naona tu watu wanakufa kukufa pale China m like nyie nidathira na korona …

Next day I go to that quack chemist , I trust his medicine coz Kuna time I had phneumonia na dawa ya 140/= iliniponya… His prescription is some liquid dawa iko kwa kachupa, inakaa ile watoto hupewa (menthol hivi) na some pills … Dawa natafuna na kumeza for 4 days , no change … It’s then I read somewhere online if u drink warm water consecutively for 1 week the condition may get better … Kea nyumba Sina thermos … I get one n prescribe myself hot water … After 3 days I start getting better … I continue for 2 weeks , by the time partial lockdown itangazwe m already better …

My point is , this disease entered Kenya long time ago, but our immunity was somehow strong or either the virus couldn’t survive in this Africa climate… M convinced hiyo ilikuwa Corona au NI homa ngani hiyo huponywa na maji Moto … ?

Hii kitu imekua nasi for sometime,but our immune is stronger. Uliza MTU amepelekwa quarantine hakuna kitu wanapewa

Homa ya baridi

The disease is among us…the phobia and the hype created by the media is actually greater than the disesase not to mention it is a cash cow for you know who.