Country Bus riots

Wueh, kumeanza kuwa kubaya. Pale country bus watu wameblock Barabara, and lit bonfires. No bus leaving Nairobi. Hivyo ndio wanadai.

Mbisha sina. Staki infinix yangu iibiwe

1 Like

Shida yao ni gani?

2 Likes

CORDIOTS or JUBULEEDIOTS ?

2 Likes

Hiyo time ya maswali sikuwa nayo baba. Pale hapakai vizuri. Umati yote ya Eastland’s imetembea kutoka stadium.

3 Likes

huyu DJ in Bure kabisa…[ATTACH=full]127308[/ATTACH]

1 Like

me si reporter!

@Meria Mata kazi kwako

3 Likes

Shida ni nini?

Pole Dj. That was a wise thing to do.

Ukumbuke kutuwekea mixx poa ya Friday ukifika.

What bullshit is this?
We are getting more stupid every passing day.

1 Like

Demos around Machakos country bus!! avoid that area
CCTVs capturing every moment
[ATTACH=full]127309[/ATTACH]

[ATTACH=full]127310[/ATTACH]

Why

sasa na ni friday na @culture na anaedeanga muguka country bus kutaenda vipi?

1 Like

Huyu dereva wa rorri ni meffi sana. Nineona hii headline hapo MMNN nikajua baaas! Rapture imeanza!
[ATTACH=full]127311[/ATTACH]

32 Likes

:slight_smile:

Comprehensive report ikuje, ikishatoka

mashetwani ya auto correct hehehehe

4 Likes

hun…

2 Likes

naskia ni hawkers tu,
[ATTACH=full]127312[/ATTACH]

2 Likes

What are their grievances, why’s no one answering that?

1 Like