Crying Wolf

The fear of spending the weekend in the cells had seen one of the two aides to the DP move out of Nairobi as the other switched off his phones.

“Those who wrote the letter are now well-known. Whatever they had in mind has backfired,” said the official

[ATTACH=full]245493[/ATTACH]

Shida na crying wolf is it always ends badly.

Moto kabisaa

the end was to get those who are against tanga tanga out of the cabinet. A high time Uhuru reshuffles the cabinet.

Hio si “Jubilee development”?

When Ruto alijitokeza kusema the 2 dams stolen money was not 21 billion but 7 billion watu walimshangaa. .
Now this is the second time he is suffering from foot in mouth.

Tuliambiwa hapa barua ilindikiwa Rais bila kuwa addressed to “Your Excellency…”

Very amateurish…

:D:D

Nilikuwa nimeanza kupatwa na shaka wakati pesa ya mahindi iliisha tu hivyo bila mahindi ya wakulima kununuliwa (I remember then posting here wakuza mahindi wasitusumbue tena) but when tuliambiwa pesa ya dam si 21 ni seven nikasema ah ah.

Wapi spear, amezima simu leo

I agree. Ruto always wants to be the center of attention. Whoever advised him on the latest prank f*ucked up big time. Alafu the timing is bad. Ingekuwa 2021 angepata sympathy votes. But saa hii ata kipii kinajua the death threat was a hoax.

Usijali. Anaweka “spin” kwa hii maneno to make Ruto to be the good guy. He’ll be back kwasababu he is the chief Ruto campaigner hapa ktalk

Is it true that he gets Ksh 10,000 for every “Like” he gets on his posts?