Ctrl C+Ctrl V WALLOW IN MUD

Ctrl C+ Ctrl V

Kwanza Men should be very careful na hawa madem wa kujileta wenyewe.most of them usually have known u through their friends na wanajua what u have. So they come for u with a purpose. Mimi kunaye nilijoke kiasi kumbe alikua ameongoja a day like that. She became my all tym friend na akaniambia she would like to know my place sikusita nkampeleka. Obvious lazima angeacha autograph (lungulah) we dated not less than 1 month kuzoea kukam aliaza kuacha nguo moja moja within a week akaniambia anaeza move in na mm na ujinga nkakubali. Kukaa miezi Kama mbili kumbe amekua na plan ya kunitoka!! Alianza kunisingizia mambo ata akuna.
kuaza kuuliza maswali za kishenzi kukasirika nikamwekelea kofi. Next day jioni nilipata ako na p3 kejani na amejaza kila kitu.akaniambia nahitajika juja police station, sikudinda mm nikaishia nlipata kama wameniongoja kwa Hamu hadi yy.kuingia nilipata nimeandikiwa attempted murder kwa kupiga mtoto wa wenyewe karibu kifo.kuongea ongea kiasi alidai nimlipe kapa 60k ama nifungwe. Kusema Sina ile doh nlitia Yule karao wazimu. Kumbe dame walikua wamepanga na yy na akampa stori nikiitishwa doh ntalipa Cz nlikua Nazo. Walitoka nje wote wawili wakaongea kurudi mambo yakatulia nikaambiwa naeza toka na cash bail ya ten K turudi next week tuongee cz ilikua niingie job nikatoa na nikapewa receipt flani ya kuonyesha am on bail Mimi nikaenda job Wiki haikuisha kesho yake nilipigiwa simu kutoka station nikaambiwa Niende, mimi nikaishia coz sijui Mbona nikaitwa. Kumbe dame alienda huko mbele yangu wakararua ile p3 na card ya Hosi! Mimi kuingia nliambiwa nlienda hme nikiwa mlevi nikamchapa tena na nikararua p3 na kadi ya hosi.

Claiming that I got cash na akuna place karao watanipeleka. Imagine nlilia knowing ata sikulala kwa hio nyumba na ni yangu nilienda kuomba doz kwa arif nlifungiwa wiki mzima nkionwa tu na relatives na narafiki. Afta that week niliitwa kwa Criminal office bado huko station nkapata dame. Nliambiwa I choose between 2 things coz doh nlikataa kumlipa na nimeongeza makosa ya kurarua mali ya serikali either niende kotini na ntashtakiwa na kuharibu Mali ya gava ama nimwachie everything in my house. I chose to leave my house to her. Nikaambiwa niandike barua na nisign na I did it. Nkaachiliwa kwenda kudai ile Cash baill!!! Apo ndo kiliumana nliambiwa hio ni pesa ya kulipa ile p3 nlirarua. I just went out na nikaenda kwa siz imagine what i took from my own house ni nguo ,viatu nahungers. Afta a few weeks ndo nliskia the gal had a thing with the cop. Be careful men

Fuck

@Freestyle do you believe this story?

Not sure , sounds like a dream , but the possibilities of being true are also high, lakini huyo jamaa probably displayed his gullibility waka take advantage

too many inconsistencies to be true

Uwongo tupu…

Nobody can send you away from your house. Total lies. Huku sio Ameruca

ina vako kiasi lakini najuama sanse wengine hukua makuma sana…they can fuck u up in seconds hadi uwawachie kila kitu…

Actually it looks like the story has been copied from those forums za Trumpistanis, ikakorogwa kidogo…

kuambiwa u-choose between 2 things… either kortini ama umwachie everything in your house and you chose to leave your house for her??

Sounds legit.

hapana VE, hata kama ni C&P… hii after kuwaza ukaona utuletee?

There is a kahekaya I dropped sometime jamaa alibeba lanye then ikamfix na rape tulimtoa na Kam 40k ,
And another of ladies soliciting urine from pregnant ladies wafix jamaa atoe za abortion,ukipatana na Kama hao unanyamba Kama ile freno ya purr

I don’t converse with non VEs hehe

Watakukosea heshima. .I had to recheck if this post was from NV only to find. …

Bull crap a lot of gaping holes in this fake story, physical assault is bailable at the courts at only 20k and you get a good lawyer.I can’t surrender my house yo any nyoka around…

Cop akianza za ovyo you escalate it to a more senior cop. Inabidi atulie, that’s why hii story siiamini.

K

hapo juja kuna cop anajiita kim…alinikata 3k out of 6k yenye mwivi alinilipa after kunitoka tenje

That’s sad

Horseshit

kuna boi flani aligo thru shit kama hii bt yeye alikuwa na za ovyo alikuwa mtu wa kuendea ukidai fon anakusakia fon. so kuna dame flani alikuwa beshte yetu, huyu dame alikuwa na biz, sisi tulikuwa tunapatana hapo na huyu jamaa. siku moja nakutana na uyu boi namuuliza mbona siku izi huendi pale kwa ule mdame akanishow wachana na huyo dame juu huyu dame alikuwa anafeastiwa na karao flani so wakashikana wakamtoanisha madoe …nikama makarao wana izi form za kutoanisha watu doe bora ukuwe na weakness wata utilize