D- cash me outside if you can

[ATTACH=full]342015[/ATTACH]

Taktaka D- nimewangoja sana.
Na niulize, kama hakuna social distancing shule na trains, kwa nini kuwe na social distancing upussy kwa vilabu?
Any way lazima kitaeleweka

[ATTACH=full]342018[/ATTACH]

Jipange na cash.

All you need is BRAVENESS…
And your LEGS…
FOR BACKUP.

Polisi wa manispaa hawacheki na watu.

Kwani ni wabaya hivyo? Kwani what can they do?

Cash bail ni haraka ya miguu yako:D

I think think is the first time since Jan 1, 2008 that New Years was not celebrated in Kenya.