Baada ya kuzurula huku na huko kama mwana mbuzi aliyepotea baada ya mama yake kuuawa n Fisi hatimaye nimepata pa kujisitri.
Najua yaliyonipata mie kwa kuikosa JF ndio yaliyowapata ndugu zanguni
Asanteni wakenya kwa kutupokea na kutusiri
Baada ya kuzurula huku na huko kama mwana mbuzi aliyepotea baada ya mama yake kuuawa n Fisi hatimaye nimepata pa kujisitri.
Najua yaliyonipata mie kwa kuikosa JF ndio yaliyowapata ndugu zanguni
Asanteni wakenya kwa kutupokea na kutusiri
[FONT=courier new]karibu uhamishoni mkuu…japo wenzio tumekuja kitambo kidogo lakini hujachelewa…[/FONT]
Nafurah kuwaona ndugu zangu
Huku naitwa villager tena hahaah
yaaah huku ni mwendo wa vileja tyuuuuuu…
Karibu sana
Karibu
Welcome
hatimae nimetokea
Hahah! Umetisha sana
Welcome
Karibu wanambuzi tupo huku, Huko ulikotoka Kuna Mifisi yenye tamaa hata mfupa kama Jf inaona ni kitoweo kwao
Ila wenzio ndo tumekuwa senior villeger.
hatimae nimezoea looh
Uniandalie zawadi sasa jamani
Karibu!
Ahahahhaahah
Welcome
Kenya wamecheza kama Pele maana alosto ya jf ilikuwa Kali mno
Nalog off