Daiper

Hizi vitu lazima zimalizike

niaje wakameat

The goverment must do something before i kill somebody,yaani watu wameamua my 6 million plot ndio watakua wanatupa hizo vitu,walai kuna mtu atakula mshale

Tufunge watoi na nini?? Mi sioni tukirudia nappies,

Fence off your plot

1 Like

Sword ndio poa, the word is diaper.

1 Like

ni poa,nitafutie ploti huko porini ,ni uze hii,afadhali kuwa na wanyama kama majirani

wewe hujaona mbwa ime-poop the indigestible parts of a sanitary pad…and you think it’s like ilikula mwenye kutumia akiwa hai…

2 Likes

:D:D:D:D:D

leo watu wamevuta kitu!!:rolleyes:

2 Likes

hehe na ukiwacha bibi sababu ya kuishi na wanyama? si unajua wewe ni mtu ya ndeiya, sitaki kuvunja boma

1 Like

:eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek:
Yaiikes… just lost my appetite

fungeni watoi na diapers lakini dispose off properly…
sioni kama kufence plot kutazuia mrushe uchafu…you and your neighbours just have to stop living like pigs…

1 Like

wekeni hiyo madaiper kwenu,tukikutana na mtu akizitupa kwangu hio itakuwa murder case,niliweka barbed wire wakaimba

Hahahhaha… @pamba akitoka kanisa akuje na Pastor wakuombee.

Putting up a wall around your plot is not that expensive to protect your 6 mita investment. It might cost you more to clear the baby guano deposits

3 Likes

kufence na wire haitasaidia, pengine uweke perimeter wall lakini people should dispose those things properly

1 Like

ilikuwa ngoma gani?:D:D:D:D:D

5 Likes

:D:D:D:D:D

1 Like

sahihisha,ni vile niko na hasira,mwanamke mzima anatoa sanitary pad kwa kuma anarusha kwangu?naweza zipeleka kwa mganga hizo kuma zifungike

2 Likes

collect me on the floor please…

Afadhali diapers. They are biodegradable. Ngoja hao ma neiba ws plot yako waanze kutupa unmentionables…utalia machozi.
But there cud be a solution…

  1. Uache nijenge low cost houses on a BOT arrangement or
  2. Ujenge mwenyewe those low cost houses.

You will get automatic guardians for your plot (no more dumping),it will not be at risk of being grabbed n finally there will be a new revenue source for you.

What you say @Wakanyama

1 Like