DARWIN CONTENDER

hawa majambazi huwa na akili ndogo sana.Yaani unajianika tu hadharani ukitafuta likes. Ukipatikana hizo likes na comments hazita kuokoa. [ATTACH=full]127267[/ATTACH] [ATTACH=full]127268[/ATTACH] [ATTACH=full]127269[/ATTACH]

4 Likes

in a few days ngori image iko hapa, kazi kwako Hessy

1 Like

They should continue making hessy’s work easy.

2 Likes

Hizi ndio mbegu za akina m2random…lack of father figures in their lives

4 Likes

Mchana yeye ni hustler wa kuuza mtumba :D:D

Next time mlete HD Video yake akikulishwa dengu kama ile ya Eastleigh.

1 Like

wale watu wote wako na infinix…kazi kwako hessy :smiley:

Some ninjas on Friday last week decided that I dont need to have a phone near Odeon,meffi ,it’s okay @Deorro na @fala leteni contacts.

Wanaibia mpaka mkubwa

1 Like

Jama walitembelea mfuko bwana

1 Like

afande ukiibiwa simu si sisi tutang’olewa roho tukitembea tu:D:D

5 Likes

Ukitembea na @pamba tao ni stress… yeye hutembea ka mtu wa ocha kuzubaa zubaa tu. Talking from experience. Afisa pole sana but niko mbali kidogo. Samsung Note 8 ikifika Kenya kujia moja.

1 Like

:D:D:D

1 Like

Too much of the Gangstar rap shit. And dancehall music.

hebu angalia kama kuna mmoja wao hapa.hawa ndio wanahangaisha watu tao[ATTACH=full]127440[/ATTACH]