Nmeamua kuwasaidia ndugu zangu wenye hii shida kwa kuwaulizia hili swali, tafadhali Jibu lisiwe
Ridhika na ulichonacho. Kama unaijua hiyo dawa iweke hapa.
kwa nn hutaki kuambiwa ukweli wa ridhika na ulichonacho!? huo ndio ukweli mkuu vinginevyo unatafuta matatizo tu ya baadae kiafya,kisaikolojia na kiuchumi..
kwa nn hutaki kuambiwa ukweli wa ridhika na ulichonacho!? huo ndio ukweli mkuu vinginevyo unatafuta matatizo tu ya baadae kiafya,kisaikolojia na kiuchumi..
‘Congo Dust’ halikuzi uume. Lenyewe linachelewesha muda wa ‘Kukojoa’.
Dawa pekee ya kuongeza uume ni kukubali uhalisia. By the way tatizo lenyewe ni more of psychological kuliko inavyosemekana. Wanaume wengi siku hizi tumekuwa na ‘inferiority Complex ‘
Mkuu unataka kuipeleka wapi hiyo kitu ikishakuwa kubwa,wakishaanza kukukimbia ndio utajua hasara ya kukuza kwani kuirudisha tena iwe small haiwezekani zaidi ya kuikata,sasa nawaza tu sijui bila ya kichwa utawezaje kula...
Dawa pekee na ya uhakika tena inayopatikana kwa bei rahisi kabisa ni kwenda kwenye mzinga wa nyuki kisha utegeshe boro lako hapo lidungwe na nyuki kama watatu alafu urudi home kwako kutest mtambo.
Mi nina mke mmoja tu, na ni huyohuyo toka nimezaliwa but I'm not sure if i'm Kibamia Or not na siulizi
kwa ajili yangu, nimeamua tu kurudisha miongoni mwa mada zilizotamba JF