Siyo kila mwanaume atakuchezea akukimbie, wengine watakuchezea, wakuchezee, wakuchezee wakuchezee mpaka wewe mwenyewe Ukimbie
Chitchat love uuuuuuuuuu
Mambo ni hiviiiiiiiiiii…
Tupendane daima
Hahaha senior villager
:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p
Kiti inakuja villager(in wakenya’s voice)
Naona kuna wezee wa kijiji,viongozi wa vijiji n.k
Hahahaaaa
Iko poa sana maana ukizoea unakuwa mwanakijiji wa ukweli
Vyeo vinapanda kwa kasi ya ajabu
Hazard tuchezeane mi na wewe tuone
Sisi tutachezeana milele hakuna atakaemkimbia mwenzie
Unasemaa??:rolleyes::rolleyes:
[SIZE=5]Kweli bwana…[/SIZE]
Ushakimbiza mtu mkuu?
Hahaha, hapo ni kuchezeana tuu hakuna namna!
Naona ushakuwa mzee wa kijiji:p:p:p:p:p:p
Usinisahau kwenye kugawa majaruba aisee
Hatimae jirani tumekutana tena,
Jiwe alaaniwe kwa kweli
Hahaha
Ni venye tunaanza moja jirani
Hahaha