Dec 2015

kuna December nilikua nmesota sana hapa tarehe seventeen. sikua na kitu kapsa najaribu kuhustle rozie asilale njaa but miradi yote ilikua hailipi bana. sasa nlikaa nikaboeka nikatarmac hadi tao kutoka mukuru,bure tu si eti kuna kitu nlikua naendea,kufika tao kama mkamba lazima ningefika pale machakos country bus,saa sio naona watu wanaenda home Christmas mimi hata sjui supper rozie atakula nni.nlikaa hapo kwa bench za stage kidogo nikajiambia niende pale athusi,si eti nataka kulewa! hapana,nachjngulia tu niona kama naeza ona mtu najua,sikuona.nlipata club nzima ni buda flani tu amekaa hapo.hakuniona so mimi nikatoka nilitembea kama 100 metres nikarudi tena athusi, kuchungulia tena,yule mzee aliniona akaniita "Muisyo, uka vaa! waendie naku indi?(muisyo,njoo ulienda wapi?) mimi siitwi muisyo but nikajifanya muisyo.mzae nikamchocha nilikua ocha kidogo but nmerudi jana.akaniagizia tusker moja then akanishow anataka kunituma kwake.mimi nikakubali akatoa 20k kwa mfuko akanipa 17k simu na wallet akanishow nimpelekee kwa mpesa yake iko hapo area ya athusi tu…wanakijiji sitaki niwadanganye nilikuja kushtuka nikiwa machakos naenda ocha christmass nikiwa na pesa ya wenyewe.muisyo kama uko hapa nisamehe bro nkikua nmesota si kupenda kwangu

He he he!
Wewe ni ndugu yake Wacù?
Muisyo… Wacù…there’s a rhyme to it!

ii ni uongo high grade.Unaexpect vyenye January imekuwa ngumu tuamini izi imaginations zako??

hapo utajua mwenyewe brathe…hadi nmekudharau sana mwanaume unalalamika January na wewe ni village elder hapo i assume uko over 30 na ujajipanga?!!

yeaah io nimejipanga but miradi zinanikimbiza sana…Wewe na @culture you are cut from the same material…

mimi bado life haijajipa but swezi complain as for me and my bro @culture being same material sina shida twi nyumba ya mukamba

i just meant that part of over-imaginations

Hekaya ni poa
Ni mungu aliona hiyo pesa ingeliwa na malware
Hukuendea Rosie mukuru?

hehehehe @Saintonthebeathoe unaishi Kitee wapi??Niko area ya Tarino leo

niliruka muthurwa nikamshika nguo za christmas tulienda nae.huyo ni partner wangu wa thick and thin hatuezi achana

nyuma ya eastmatt opposite hizo pubs uitwa kibichoi

Unafanyanga nni hapo??Unacheki io mpesa iko kando ya Pizza in??Kuna madame wawili mmoja anaitwa Stellah ako na mtoi na mwingine Nolah Wakamba wawili wazuri sana.Fika hapo ujishkie mmoja

wewe ni mmoja kati ya hao madem?

kuelewa inakusumbua sana mkamba.Soma statement uelewe

haha uko hApo?

Aaaah! i used to love Tarino. kula mbavu mbili za kondoo on my behalf…

:D:D:D:D:D:D

Hehe nimetoka mkubwa but nikirudi nitatuma paybill inbox

poa

haha:D:D:D:D:D:D:Dkasee uko ligi yako