Siasa za Tanzania haziwezi kuwa zile zile tena…za kistaarabu, kuheshimiana, kustahimiliana na kuendeleza amani na mshikamano…
Natabiri,
Katika kipindi chake, na katika chaguzi zote, Magufuli hatashinda Urais bali atakuwa akibaki madarakani kwa lazima kama yule nguruwe Shwaini wa Zanzibar…na watakaomshinda ni ama Zitto Kabwe ama Tundu Lissu…wana maarifa na hoja za kisiasa za kumsambaratisha Magufuli mchana kweupe
Atang’ang’ania madaraka na baada ya hapo ataanza kuua raia na wapinzani wake wa kisiasa kwa kasi ya kutisha, ndani na njr ya CCM
Baada ya hapo ATAPINDULIWA na JESHI…hilo likitokea, itatuchukua miaka mingi mno kurudi kuwa Taifa sawa na enzi za JK( hiki ndo kipindi nchi hii iliendeshwa kisasa kabisa na katika siasa za kistaarabu tukiacha wizi wa kura 2015 Bara na Zanzibar)
Lolote laweza kumpata…ama kushitakiwa, ama execution ama akimbilie uhamishoni kwa ndugu zake Rwanda ama Burundi
Huwezi jua thamani ya kitu mpaka ukikose maana nakumbuka enzi za Mkapa alisemwa kiongozi katili, enzi za JK alisemwa ndiye rais mbovu kuwahi kutokea TZ na hata akitoka huyu tutasikia tena mengine. Tusubirie yatakayojiri hapo baadae maana leo tena JK ndio alikuwa rais mzuri. Mmmhhhh