BAK1
June 16, 2018, 4:41am
1
Kama unajijua unapost video clips kwenye ukurasa wako wa Fb, Tweeter au Insta nenda TCRA kajisajili. Gharama ya usajili laki moja, na ada kwa mwaka ni milioni mbili, kwa mujibu wa The Cybercrimes Act, 2015. Ukipost vipande vya video (video clips) kwenye ukurasa wako na hujajisajili utashtakiwa na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka mitatu gerezani au faini isiyopungua Shilingi milioni 5. Namna pekee ya kuepuka kusajili ukurasa wako ni kutopost video yoyote inayotoa taarifa/habari kwa umma. Nini maoni yako?
Sijuti
June 16, 2018, 4:50am
2
BAK1:
Kama unajijua unapost video clips kwenye ukurasa wako wa Fb, Tweeter au Insta nenda TCRA kajisajili. Gharama ya usajili laki moja, na ada kwa mwaka ni milioni mbili, kwa mujibu wa The Cybercrimes Act, 2015. Ukipost vipande vya video (video clips) kwenye ukurasa wako na hujajisajili utashtakiwa na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka mitatu gerezani au faini isiyopungua Shilingi milioni 5. Namna pekee ya kuepuka kusajili ukurasa wako ni kutopost video yoyote inayotoa taarifa/habari kwa umma. Nini maoni yako?
Hivi naweza kwenda gerezani nikaomba nifungwe kwa miaka 3 halafu nikitoka nianze kupost wakinikamata nawaambia nilishachezea kifungo cha mbwa koko?
Ndio jamiiforums ikirudi ndio tutapona kweli? hakika ngoja niendelee kubaki huku huku.
Mmh yamekuwa haya tena! Taifa la viongozi wajinga haliishi vituko
Jamaa wa buku saba Lumumba na wao wamepewa likizo ya LAZIMA bila ya malipo?
Hivi ile Tanzania tuliyokuwa tunaiimbia kwenye mchakamchaka asubuhi na baridi kali enzi zile za Primary, na kwenye zile ngano za
[COLOR=rgb(97, 189, 109)]Ta[COLOR=rgb(247, 218, 100)]n[COLOR=rgb(44, 130, 201)]z[COLOR=rgb(247, 218, 100)]a[COLOR=rgb(0, 0, 0)]nia…×2 nakupenda kwa moyo wote!!!
ndiyo hii tuliyonayo sasa hivi??
Hivi wabunge wetu sasa wameelewa kwa nini kina Tundu Lissu walikuwa wanapinga hiyo miswaada?
[SIZE=7]Kuelewa?? Kwani akili zao wamerudishiwa?? Si nasikia zilikusanywa zikawekwa kwenye kiroba hadi 2020 ndo watarudishiwa???[/SIZE]
Na zile buku 7 zao zime-stop hawapewii tena!
Huyu Magufuli atawaua na njaa ndugu zake wa Lumumba
BAK1:
Kama unajijua unapost video clips kwenye ukurasa wako wa Fb, Tweeter au Insta nenda TCRA kajisajili. Gharama ya usajili laki moja, na ada kwa mwaka ni milioni mbili, kwa mujibu wa The Cybercrimes Act, 2015. Ukipost vipande vya video (video clips) kwenye ukurasa wako na hujajisajili utashtakiwa na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka mitatu gerezani au faini isiyopungua Shilingi milioni 5. Namna pekee ya kuepuka kusajili ukurasa wako ni kutopost video yoyote inayotoa taarifa/habari kwa umma. Nini maoni yako?
Madhara ya kuongozwa na Kichaa hivi sasa ni dhahiri Mkuu.
Kuwa Mbunge wa CCM ni laana kubwa sana
Hivi wenyewe wanafurahi nini kwa watanzania kuwa wakimbizi kwa nchi jirani kwenye Kenyatalk??
Mwanampotevu:
Hivi ile Tanzania tuliyokuwa tunaiimbia kwenye mchakamchaka asubuhi na baridi kali enzi zile za Primary, na kwenye zile ngano za
[COLOR=rgb(97, 189, 109)]Ta[COLOR=rgb(247, 218, 100)]n[COLOR=rgb(44, 130, 201)]z[COLOR=rgb(247, 218, 100)]a[COLOR=rgb(0, 0, 0)]nia…×2 nakupenda kwa moyo wote!!!
ndiyo hii tuliyonayo sasa hivi??
Toka ameingia Magufuli kuongoza nchi ameigeuza nchi ya Tanzania yenye upendo kuwa ni nchi yenye chuki na visasi
BAK1:
Kama unajijua unapost video clips kwenye ukurasa wako wa Fb, Tweeter au Insta nenda TCRA kajisajili. Gharama ya usajili laki moja, na ada kwa mwaka ni milioni mbili, kwa mujibu wa The Cybercrimes Act, 2015. Ukipost vipande vya video (video clips) kwenye ukurasa wako na hujajisajili utashtakiwa na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka mitatu gerezani au faini isiyopungua Shilingi milioni 5. Namna pekee ya kuepuka kusajili ukurasa wako ni kutopost video yoyote inayotoa taarifa/habari kwa umma. Nini maoni yako?
“Tumekabidhi nchi kwa washamba” ZZK
hahaha
hhahah hapo ni sawa na utawaze kisha unye
BAK1:
Kama unajijua unapost video clips kwenye ukurasa wako wa Fb, Tweeter au Insta nenda TCRA kajisajili. Gharama ya usajili laki moja, na ada kwa mwaka ni milioni mbili, kwa mujibu wa The Cybercrimes Act, 2015. Ukipost vipande vya video (video clips) kwenye ukurasa wako na hujajisajili utashtakiwa na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka mitatu gerezani au faini isiyopungua Shilingi milioni 5. Namna pekee ya kuepuka kusajili ukurasa wako ni kutopost video yoyote inayotoa taarifa/habari kwa umma. Nini maoni yako?
[COLOR=rgb(184, 49, 47)]Wanakusanya mapato
Mwanampotevu:
Hivi ile Tanzania tuliyokuwa tunaiimbia kwenye mchakamchaka asubuhi na baridi kali enzi zile za Primary, na kwenye zile ngano za
[COLOR=rgb(97, 189, 109)]Ta[COLOR=rgb(247, 218, 100)]n[COLOR=rgb(44, 130, 201)]z[COLOR=rgb(247, 218, 100)]a[COLOR=rgb(0, 0, 0)]nia…×2 nakupenda kwa moyo wote!!!
ndiyo hii tuliyonayo sasa hivi??
Mkuu kama nikirudishwa primary huo wimbo sitaimba kamwe
Lumumba wapo humu mkuu hujawaona