Divorcing Religion

Tom Bayeye

Kinyozi wa Stima Jebedeyo
#13
Waislamu kutwanga watu na baruti ju mungu yao ni better,wakiristu kupigana wenyewe kwa wenyewe ju mungu wa israeli si same na wa wayahudi alafu kusema yesu ni mungu,oliskia wapi? Catho kudeenyar watoto ju pasta kuoa ni haram,kondom ni haram,divorce ni haram pambana na hali yako. Alafu hizi dini mwitu where mnachangia pasta na bibi yake vekeshen,gari,nyumba na ndege every day revivals. Siwezani na hio upuss yote
 
Top