Dont be smarter than your boss....

Kuna ninja flani hivi tumepatana mtaani nkwamwambia aitishe chai coz i was also taking a cup of tea… Jamaa amedai kuku na chapo mbili na ni yours trully analipa. I dont know if hes still waiting atumiwe pesa alipe ama amepelekwa jikoni… Coz i dont expect you to beat your boss wen it comes to utilizing his/her cash.

Serves him right. Job well done

kuma imeenda aje?

ulilipia?

Wacha huyo achonge viazi.

:D:D kabla amalize food, aulize washrooms ziko wapi na aingie mitini, kesi baadaye

Kikiki. Huyo anachonga viasi…

Heheh… dawa ni kuita waiter na kulipia chai pekee ujitoe akiwa kuku katikati… Hapo ndio inaitwa checkmate:D:D:D

Vitu zingine tulizoea mtu anapata unalamba tusker yako anaitisha malt zile hukuja mbilimbili hapo unamalizia kama umemalasya

Niaje jigranny

Boss analamba tusker alafu peasant anataka kukunywa tusker malt. Hehehe huyo peasant hana heshima