I like Diamond’s songs but I don’t follow him on instagram, FB or twirra. Kuna mushene mingi sana social media about him and Zari. Somebarry explain to me what this all about.
@wonderful wonder usijaribu kunielezea, you will get me confused even more.
Pia mimi nimeskia hiyo drama. Ati Diamond amevaa socks hazifanani na Zari amevaa bra haimatch na panty… fala sana moderator mzima anatafta muchene kila mahali. Bure kabisa…
diamond alipenda mboch wao akamnyandua. naye mboch akapiga selfie ya diamond kama amelala na kuweka IG. Zari kuona hio picha akasamehea diamond. lakini already diamond alikuwa amepea mboch ball. zari kuskia hivo akajam kiasi lakini akacheza chini. Diamond akadai mtoto kama ni wake lazima amlee, hwezi ruka baby momma. hapo sasa ndio zari alifyatuka akajua hajui. Akakatch feelings kabisa akaanza kuleta noma social media. hio noma sasa ndio unaskia kakinuka!
I told u guys that “Salome” song was about sex…Hamisa took these lines seriously Inama kidogo shika magoti
Nimesimama kama ngongoti
Mtoto jojo sio roboti
Chumbani bingili bingili sambasoti
Walunje mucene itawaua. I lived in a lunje town, mwenye alikuwa Mama fua alikuwa akitoka 20kms from my plot but alikua anajua story yote ya plot yetu kuliko Mimi mwenye ninaishi hapo. Ni vile tuu nilisahau kumuuliza what the latest mucene is about me. Hawa watu na mucene, ni talanta walipewa. And the men are worse than even the women! They know mucene wen its happening,in real time! Walunje ! Mama mulai!