Dry fry material cooking lunch for me

[ATTACH=full]31544[/ATTACH] [ATTACH=full]31545[/ATTACH]

11 Likes

yeye ni somali au borana…HKM!

Hio jiko niya kazi gani?

6 Likes

:D:D:D:D:D

yaani uko na fridge ya 60,000 lakini huwezi afford cooker???

29 Likes

aki huyu dame mpeleke nyumbani kwa mamake afunzwe kupika lakini kama ni dry fry pekee hapo sawa

As usual, this has been my theme;
Job 31:1
“I made a covenant with my eyes not to look lustfully at a young woman.”

3 Likes

io ni Fridge ya loan buda…analipa na installments…peasant problems

6 Likes

aiyayayayayayai

use your other eye

1 Like

:D:D nice

hio ass unashikilia hadi afterwards kucha zinakuthank for kitu swafi

3 Likes

Inakaa silaha :smiley:

3 Likes

h

hahaha

ni ya kuchomea bakhoor…(pucci conditioner)

[ATTACH=full]31546[/ATTACH]

3 Likes

Shida ni mingi kweli.

Githeri na avocado ama naona nini? Anyway, for Dry Fry hiyo nimedrop 7/10 nikiendanga.

one thing at a time bwana…hata sisi wengine tulianza na stove ya tambi…

@Pimp master general - think about safety…that cooking space is a disaster waiting to happen, halafu mbilikimo wako achomeke ma-T-T. weka meko kwa ground…

3 Likes

Napendanga hizo dimples za miguu

Umeibiwa fridge-guard mara ngapi unaifunga na bladda?
[ATTACH=full]31547[/ATTACH]

9 Likes

It is also in the covenant.

1 Like