dumbest thing

which is the dumbest thing you’ve ever done,mimi ni kubeba a 7mts python skin naenda kuuza njiru ikakosa mteja ikabidi nirudi nayo,hii ni jail term nilikuwa nimebeba

:D:D:D
In my world that would have been the bravest thing I ever did

hahahhaah i know hio baze ya hapo njiru kwa tannery …leta hekaya ya kule “ulikamua nyoka”

Kutukana karao nkiwa tei na nko cell, nlipata slaps muoto na sweep nikatii

Which year?

nilikuwa nimetoanisha fala zingine,he he he,zilikuwa zimeniambia ziko pembe za vifaru,nilikuwa nimefikiria nimekafunga,shemeji @pamba usinitafute ilikuwa zamani sana ,limitation of action act inanilinda

kuuza printing papers za job …

wewe shemeji nakuonea 18

sasa after soko imebounce ulipeleka ngozi wapi hehehhehehe ama ulishonesha zile sharpshooters wakorino huvaa

I once checked the oil levels of a car while it was running. Sema sparks kutokezea

kufika nayo home niliitupa hakuna vile ningeweka evidence kwa nyumba na mimi nilikuwa mtu wa mamisoni,makarao wakuje na ngori hi wapate ngori ingine

Kuiba old newspapers za school library nikiuzia watu wa butchery. Zilipoisha nikaanza kuiba zile current. Siku moja, usitake kujua kilichotokea.

Wewe ni mambo mbaya

kubeba miguu ya pig ime salughtertiwa from kasarani to tao kupelekea akina patel,sema deal kuruka.ilibidi niziwache kwa mat nikirudi mtaani.

alitengenesa ile suti ya ango uwesmake

Big lunch hapo Laico then 4pm tea, conference ikaisha. Whatever I ate, tumbo imejaa gas. Natoka kwa hoteli. Nachukua kagari hapo parking, kufika hapo kwa gate nanyamba yangu yote.

Gari inajaa marashi.

Then who do I see? Boss fulani hapo alikuwa conference and she is a lady. Na ako na mwenzake mmama kutoka Uganda. They immediately flag me down na niko kwa jam. They hop in.
:D:D:D

Nashukisha hizo windows chiiiiini, chiiiiini, chiiiiini zaidi.

The silence in that car haki a mama.

Nikiwa highschool kuna holiday flani tulikuwa tumesota mbaya na tulikuwa tunataka kwenda jam session F2…after kufanya upelelezi kwa tiplo tukajua pahali mama flani neighbour huweka pesa. Vile alichomoka na karai kwenda bafu na mimi ndio huyo ndani hadi kwa suitcase.kulikuwa kunanukia sabuni ya lifeboy nikadhani labda ni mathuruari alikuwa anafua.kumbe alikuwa ashaogea kwa nyumba ile maji ilikuwa kumwaga.nikapewa masigns na sauti na rende yangu.ilibidi nimeingia chini ya bed akavalia nguo na akachomoka,akawacha kama amenifungia ndani.

nilipiga wheat za wenyewe kibiriti bado zikibakia kidogo ku harvestiwa

:D:D:D

he he he,unaweza kuwa ni wewe ulikatakata zile mboga?