Dunia ya sasa usimwamini mtu:Picha zinatisha.

Hawa jamaa waliamua kumuua kaka yao kisa mgogoro wa ardhi.

The Akwa Ibom police command have arrested two men believed to be brothers for allegedly killing and beheading their brother over land dispute.

http://www.nairaland.com/attachments/7337117_SISON_jpg180a963a3e9994b7fac12576b175695dhttp://www.nairaland.com/attachments/7337119_sison2_jpg7e23dc30fbb128acedf90d700f03e040http://www.nairaland.com/attachments/7337120_SISON3_jpg117d94af0726671ed5a1555a1f64a396

Wamekaa kibandidu fulani

Mashamba ya ukoo au familia ni shida sana hasa kwa familia zilizojaa kijicho ila kwa wanaoelewana vizuri Hata haisumbui

Hapo ujue kaka yao alikuwa na msimamo na mali za familia, ila kwa ubandidu wao wakaunda jeshi la pamoja kummaliza kaka yao ili waitafune vizuri mali ya urithi.

Hmm! Inatisha…

Inasikitisha.

Hawa ni mabandidu

wapenda mterezo

Aisee hii Wapi mkuu

Inaonekana kaka yao alikuwa na akili na hakutaka mali ipoteee kwa hao viazi

Vichaa hao…wanaonekana si wazima kabisa.

Daa alafu walivyokishika hicho kichwa sasa!!!
Hawana utu

Inasikitisha sana…

Cc: @Mahondaw

Watu wa hivyo kuwaweka gerezani ni kupoteza mda tu.

Nigeria.

Hatari

Kuna sehem moja mkoa wa Morogoro ndugu walikuwa na mgogoro wa mashamba na mali zilizoachwa na wazazi wao basi kaka yao mmoja alikuwa na msimamo sana na akili kuliko watoto wengine so ili kumtuliza walimfanya akawa kichaa akachanganyikiwa had leo

Mbaya sana kwenye familia mkiwa hatuelewani!
Nalog off

Hiyo ndio shida ya kuishi kwa kutegemea mali za familia…

Inasikitisha