So jana nilikuwa off duty alafu i dicided to visit bro pale embakasi ap training.he is a teacher there.so nikiwa mtaani kijana anapendaga kunikwamilia sana.so i walk around with him wkeds.mimi nikaamua chuma ipumzike nitumie matatu.kijana ako na hii tabia ya kuniita baba after every 1 minute.haha.baba ona ile dinga,baba ninunulie hii,baba ona ngombe.baba.....blablabla .but nishazoea.so sisi hao kwa matatu alafu tukafika pale airport kijana ashaanza story za ndege.
Sasa kitu iliniudhi yangu yote kuna kidem kilikuwa kimekaa mbele yangu.akanishow..si uambie hicho kitoto kinyamaze.tumechoka kupigiwa kelele.malaya,umbwa,matako,sura kama ya saitaaan.who do you think you are?yaani unaita mtoto wangu hicho kitoto.that was my responce huku nikimrukia kama chui.yaani hii mwaka yote sijawahi kasirika kama jana.i value my son more than my car.ilibidi conda aingilie kunituliza..huku akichunwa maskio na wamama wengine abiria wakimwambia.nyinyi wasichana ndio mnaachia mama zenu watoto ushago na mnakuja kukimbizana na ulevi nairobi...vile nilisema niwekwe hapo ap nilisikia kimeuliza ..kwani huyo ni afande?...
to all parents...was this ok ama i overreacted.coz nakumbuka zile matusi nlimwambia not minding who was listening naona kama nilikosea abiria wengine heshima
Sasa kitu iliniudhi yangu yote kuna kidem kilikuwa kimekaa mbele yangu.akanishow..si uambie hicho kitoto kinyamaze.tumechoka kupigiwa kelele.malaya,umbwa,matako,sura kama ya saitaaan.who do you think you are?yaani unaita mtoto wangu hicho kitoto.that was my responce huku nikimrukia kama chui.yaani hii mwaka yote sijawahi kasirika kama jana.i value my son more than my car.ilibidi conda aingilie kunituliza..huku akichunwa maskio na wamama wengine abiria wakimwambia.nyinyi wasichana ndio mnaachia mama zenu watoto ushago na mnakuja kukimbizana na ulevi nairobi...vile nilisema niwekwe hapo ap nilisikia kimeuliza ..kwani huyo ni afande?...
to all parents...was this ok ama i overreacted.coz nakumbuka zile matusi nlimwambia not minding who was listening naona kama nilikosea abiria wengine heshima
Last edited: