Embarrassing Moments

Jana Ngimanene went to a petrol station and bravely told the attendant jaza, kwanza V Power. Wakati wa kulipa bank app haifanyi bana, na hakuna kakitu kwa mpesa na hakuna ATM card niko nayo. Sasa ni kwanza kupiga simu oooooh si unitumie pesa nakurudishia baadaye, wakati hio attendant amekuwa brave na kuniambia weka gari kando na ameita attendants wengine.
Banks zinafaa zitume sms kusema app will be undergoing maintenance kama vile mpesa na kenya power hufanya, si kufanya wateja wakuwe na aibu ndogo ndogo.

Na bado @digi kïhiiiiiiiiiii humbwa koko taktaka ya manispaa chiet ghaseeer ibilisi

I remember sometime last year when mpesa was down, watu Kwa petrol station walihangaika Sana. Wengine kwa supermarkets pia waliumia, unafanya shopping unaiwacha Kwa attendant.

Shopping unaweza acha, mafuta mtasumbuana mpaka ulipe

Happened to me either beginning of the year or late last year. Was so embarassing kusmama hapo for a full 10min with a full trolley, kwanza Naivas westlands vile hujaa watu. Dont ever trust commercial bank of Africa, they have the worst systems.

Swipe kabla uwekewe mafuta next time, hizo app huwa useless sana. Hiyo gari ungewacha hapo upande matatu uende kwa ATM kama hungeraise hiyo doh. Seen this mara kadhaa. Petrol stations dont joke, kwanza za walalo.

Nyinyi ndio watu wa kulipa na mpesa!? Mnafaa muwekewe line yenyu muwache kutuweka bure nkt!

Kwani ni CBA loop, ndio iko na madharao hivo, happened to me na nimeitisha juice mbili takeaway mahali nikiwa na baeee, huyo mwarabu aliniabia niende tu ikiwa poa nitalipa. I paid him in an hour’s time vile iliamka, pesa ya mswahili huwezi hepa nayo unaweza jipata hapo archives asubuhi ukiwa ndithi…

wewe ni ule wa kununua tissue papers?nuff said.

I once saw a campus chic paying for a soda na M-Pesa wakikatiana hapo na chali yake, sahizo the que imekuwa mrefu supervisor ashaanza kuhanda cashiers.

That transaction was worth 49 bob. Ile look walipewa sidhani watawahi rudi hiyo supermarket:D:D:D

Yes amongst other stuff, ningekuwa hapo i would have given you ile look ya mganga

Rafiki bank app is also very unreliable, bure kabisa

I always walk with a few K’s emergency money for just in case moment, nishawahi aibika Sana.

Tunajua ni mafuta ya rwabe

Na si banks huwa na USSD codes that you can use to transfer to your mpesa without the need for internet apps?

Mimi ni the opposite, mpesa is for emergencies, kama sina pesa sina pesa

Always weka kitu 3k kwa slits za wallet,you never know when sheet hits the fan. Down side tho,nilikua nabadilisha wallets after kuchapa,while moving stuff nikakuta ka thao kale ka zamani. Unaeza jipata unasahau ka kuna noti mle ndani

There was a Judge ( dont remember the name) that sued a bank for this inconvinience and he was compensated well

Nick Ombija - Alilipwa 2.5M.

KCB pia ni mafala sana. How do you go toe to toe with a judge in a case like that? Si wangemuita wajaribu as much as possible ku solve out-of-court?

Pia GBM Kariuki, yule jamaa wa ‘Iron Lady’ :smiley: