false pretense

it’s criminal offence to obtain something through deception be it money,VOTES ,properties etc.lipeni deni ya uncle Ruto na muache kusumbua na threads hazina mwanzo wala mwisho

Sawa, Ruto… juu juu juu zaidi.

Ngunjiri tulia.

Wasapere wa muchatha wamesema hawana deni. Pia wasapere wanaishi RV wamesema kalenjinga wakileta vita raundi hii they won’t back down, they will fight back

Dr Uncle DP umesahau kuongeza. Ruto’22 mpaka kwa debe.

Hatuna deni

Hauna deni aje na wewe ni voter wa Kunyistan?

Umejaza ugali kwa kichwa. There is a reason watu wanasema hawana deni. Huwezi kula mkate nusu halafu useme uongezwe mzima. Kama Ruto angeenda nyumbani 2013 na 2017 badala ya kugawana serikali ningekubali deni. Kupigia Ruto kura 2022 ni kumlipa mara mbili.

Thiirí nīo.

P
Pu
Pur
Purp
Purpl
Purple
Purple h
Purple ha
Purple haa
Purple haan
Purple haana
Purple haana d
Purple haana de
Purple haana den
Purple haana deni
Purple haana den
Purple haana de
Purple haana d
Purple haana
Purple haan
Purple haa
Purple ha
Purple h
Purple
Purpl
Purp
Pur
Pu
P

niaje shemeji

Poa sana shemeji.

brown skin unataka kusema sina akili?nitakuweka madent utulie

Kama unadhani hauna deni hauna akili. Sio siri

The first law in politics: Never let the truth get in the way of a good story (lie).
You were entertained. That’s the payment.

PS: I do not favor either side. All I know is, ‘your money is not refundable.’

Uhunye na Ruto wanakaa wanachezeana karata

Kenya = Kunyi? Wadau mumeona hii matusi?? gosh :eek:

Hapana!!! Kunyistan ni huko kwenyu kwa Trump, mashoste ni wengi sana.

In 2013 kuna watu who spent years saying that Kalenjin nation would not vote for President Uhuru Kenyatta. Well they did and did again in 2017. Wacha watu waongee lakini DP Uncle is the presumptive 5th President of Kenya.

We must keep the promise, UK hangepata kiti without wsr support, so we shall vote in WSR ,so as to keep the promise