Fasihi

Wakuu, hivi ndivyo vitabu vya fasihi kwa sasa.
Kigogo-Tamthilia
Kidagaa kimemwozea-Riwaya
Tumbo lisoloshiba- Hadithi fupi.

Enzi zangu, tulitahaniwa Kifo kisimani, Mwisho wa kosa na Mayai waziri wa maradhi.
Wewe vitabu vipi?[ATTACH=full]128011[/ATTACH]

My time tulisoma
Buriani
Kisima cha Giningi
Mashetani
Can’t remember the other.

Kifo kisimany
Utengano
Mayai waziri wa madhambi. That was in 1994

When you Got an A-? :smiley:

sisi tulisoma hii

[ATTACH=full]128012[/ATTACH]

:D:Dexactly. Tulikuwa wengi kwa hii kijiji

siku njema

Kifo kisimani
https://scontent-amt2-1.cdninstagram.com/t51.2885-15/e35/12224199_840860059364042_855942352_n.jpg
Utenganohttps://scontent.cdninstagram.com/Stalkture/14031528_1266202663430947_818916932_n.jpg

Mayai waziri wa maradhi
https://textbookcentre.com/media/products/2010143000053.jpg

really ?.. sounds like the 2009 combo…kifo kisimani,mayai na utengano na enemy of the people

the burden was the best…'he has done it again ! ’

Vile @threetatu amesema.

Siku Njema- tamthilia,
Kisiki- Riwaya,

Other can recall

Hizi vitabu hukaa zikirudiwa.

Just found out Kidagaa Kimemwozea is authored by Ken Walibora. Huyo jamaa si atakua birrionaire akiendelea hivi…tulifanya Siku Njema na ni yeye tu alikua ameandika.

kusadikika

Mwalimu wetu wa fasihi alikuwa mrembo sana , tena gwiji wa lugha . Nilikuwa namskiza nikana kwamba na watch Ile series ya ‘house of cards’.

Wah basi nyinyi mlipata leavers rock imeisha.

Mimi ata sikusomeshwa, nilijisomesha.

Amezidi
Siku njema

Inakaa '94 A- ndiyo ilikuwa fashion