FC Midtjylland

Hii dnio timu ilikamua Man-U jana usiku.[ATTACH=full]31648[/ATTACH]

2 Likes

???

alikunywa busaa mbichi

Busa mbichi ni tamu sana, problem ni kwamba lazima itaiva kwa tumbo, unakunywa jioni ukienda kulala uko poa, unaamuka asubuhi uko maji mbaya.

1 Like

Leo mpango ni wapi

hehehe…
niko karibu kuhama manure naskia the rugby coach yose murino anakuja huko for three years