Sa juzi nilihard-brick ka tecno kangu juu ya kimbelembele ya kuchange imei, sa mi ndio huyo nairaland na hovatek kutafuta solution. So everywhere wanasema ni flash na sp flash tool na nidownload stock rom ya hiyo simu. Mi nikafuata instructions vizuri lakini simu ikakataa kuamka mpaka some Nigerian was threatening that hiyo imekuwa permanently spoilt.
Nikaona niende carl care kujaribu huko. Kupeana simu the guy didn’t take even 5 mins and he had already flashed it. My question is, do those guys have other specialised software or hardware that they use to flash these phones, juu I was sure it was dead.
lazima watu walinde their trade secrets, inanikumbusha siku modem zilikuwa zinafunguliwa, ukipea msee anakuambia ukijie jioni ndio udhani ni process kubwa
scan the QR code under the battery uone kama Tecno yako ni genuine if its genuine u can extract a rom from another similar Tecno using MTK DRoid Tool (Google that) lakini kama ni imbo kubali tu na yaishe
As many ways to trap a rat there is so it is. There are so many softwares and hardware for specific tasks. in your case and not only that but to any other case where you find the phone is off completely we use hardware tools and then softwares to give it life. The only phone that takes more than 12 min is an apple phone that takes 30 min but again it depends on what issues or who owns the phone. Tecno is my & other many technicians most friendly phone as it can be easily twisted to some thousands of issues.