For only 5 minutes of fame

Huyu Jamaa okari sijui ugali ameharibu biashara kabisa, Sasa no kukadiria hasara na kukula stock literally, nikitomboa hii nitakua 170kgs of pure muscles, one ekihia mwene niotaga[ATTACH=full]249377[/ATTACH]

hehe, mimi apana tambua, ile iko kwa mwili kuliko ile sijakula

Sasa hii ni takataka gani?

jenga mwili General…utiakagwo na mbau.

what is this one saying?

Lmfaooooooo ati “nikitomboa” mungiki ya ocha this one

Nitajenga mwili na stock papa? na ujue hii ndio hubankroll Ile hustle ingine

My tiny friend unanichekelea ile wakati naisha?

The hell…
Hio labda usiage utengeneze mtush na uweke pilpili kibao …uuzie @Okiya

Hahaha:D:D. That plate.

Ni Sufuria my fren

Hehee you africans suprise me daily

Semeji banaa rusha nyama kilo kadhaaa

That sufuria has seen better days.

ni sawa shemeji

I am an old hand in meat business, hata ukiwa kamahuha polytechnic hii sufuria was still in business

:D:D

We believe you though inafaa iende retire na wazee wenzake

after kwenda retire niwe nakula mawe
?

Kwani unakulaga sufuria?