Samsung S6 EDGE
60K Bei ya kuongea
1 month old, with all accesories and proof of ownership.
Kama unafika bei chapia mimi kwa inbox…
Matusi pia imekaribishwa!
Samsung S6 EDGE
60K Bei ya kuongea
1 month old, with all accesories and proof of ownership.
Kama unafika bei chapia mimi kwa inbox…
Matusi pia imekaribishwa!
Mbisha ni muhimu
bonoko alert
Am trying to upload bt keeps giving me errors bt al keep trying! @Cypher254 kuna few honest people who exist. Al upload fotos and prove it!
Mwenye simu ako wapi? ICU Kenyatta ama City Mortuary?
masaku na houserent kuliendaje?
Mbisha ndio hizo…[ATTACH=full]8682[/ATTACH][ATTACH=full]8683[/ATTACH][ATTACH=full]8682[/ATTACH] [ATTACH=full]8683[/ATTACH]
Hehehe…lets just say things are bad!
Msoto iki’knock door na midmonth bado…
Umechoka na touchwiz?
Umechoka na touchwiz?
niko na ngiri thate cash. lakini simu ya white joh
Thate itakuwa hard…
ni ya mama wa kwangu, she was given as a present by her siz whoz in states bt ameona heri aiskume tuongezee ingine kiasi aanzishe side hustle flani…and i thought its a wise idea so i support her as much as it was a birthday gift!
mbesha nitakuwekea hadi kitu 15th nahuko so ukiwa interested inbox
Nina offer ya pipty natafuna…hiyo senti tumia tu mwenzangu!
thawa thawa mboss
[ATTACH=full]8758[/ATTACH]
Okiya kuja hapa ,hio eight fifty upunguze.