Wadau ...kuna socialites wamekaa na mimi na inakaa wanatafuta form. Sijui nifanye nini. Nimelewa yangu yote. Nimejaribu kupiga picha lakini ni shine eye sana wanaangalia pande yangu vi-ajab.
Sass na vile wanakaa mahungry utabeba bila kununua kakitu? Ukiwanunulia wewe utakaa hivyo Kama peasant ama utaitisha maji? Baas wewe Kwisa. Go home boss. Tomorrow is another day.