Wadau …kuna socialites wamekaa na mimi na inakaa wanatafuta form. Sijui nifanye nini. Nimelewa yangu yote. Nimejaribu kupiga picha lakini ni shine eye sana wanaangalia pande yangu vi-ajab.
Leo ni Tuesday na hakuna mall karubi. Welp!?
Wadau …kuna socialites wamekaa na mimi na inakaa wanatafuta form. Sijui nifanye nini. Nimelewa yangu yote. Nimejaribu kupiga picha lakini ni shine eye sana wanaangalia pande yangu vi-ajab.
Leo ni Tuesday na hakuna mall karubi. Welp!?
Ule mama amepata bwana?
Tunahitaji
[ATTACH=full]121162[/ATTACH]
Ndio we advise accordingly…
Warushie form ya tissue paper pale two rivers…
[ATTACH=full]121164[/ATTACH]
Mnaonaje? Leo ni siku yangu!?
Two rivers iko mbali…but i like your way of thinking!
Mchele loading…
Weee chieth…ebu tema hio mate!
Watole form 34b kwanza mwenye ako na afro naeza kamua HKM
Kuna vile wanakaa pharmacists.
*covertly yanks out a 250g sachet out of the afro ‘wig’…teren tere
Pia huyo mwingine ako fywayn thankyou
Nimelewa already…siwezi meza gilbeys ingine
Huyo mwingine anakaa pharmacist, anakaa kuwa na mchele 250g
Sass na vile wanakaa mahungry utabeba bila kununua kakitu? Ukiwanunulia wewe utakaa hivyo Kama peasant ama utaitisha maji? Baas wewe Kwisa. Go home boss. Tomorrow is another day.
Sasa unapanga kuuza bike uwa-treat ama itakuwaje?
Waart i just winked at her na akacheka akaangalia phone…hehe this gone be interesting wachaa niendee washroom kwanza
Hao wanatega, chunga sana brathe
Zii nikiwapatia hekaya za cheki maneno si nitakuwa poa!
Fisged