Free to air epl

Ligi ndo hio imeanza. Wasee fta. Kuna sat maybe itatu favor wasiopenda kulipa. Yani fta channel

Identify yourself.

kuja na handle yako ya ukweli ndio upewe usaidizi

3 msgs since 2016
Huyu ni dstv agent
Ghaseer takataka

Hii inaeza kuwa agent wa multichoice

[ATTACH=full]253971[/ATTACH]

Tunamwonea 18

umetumwa na nani?

Kuja kama wewe utapata usaidizi

Aki hii group. Ku suspect mtu tu. Mmebarikiwa… mi ni fun wa mpira sana epl sana. Nilinunua 8ft dish nikafungiwa sport 24 kitambo. Ilivyopotea ikawa iko useless tu apo inje. Sa kuuulizia tu ntapata wapi fta channel yenye naeza angalia nayo game imekua shida. Ai jamani watu wa Kenya

Si uniuzue hiyo dish

mi nataka usaidizi ka ntapata channel ya mpira epl sana. Nisaidieni wadau hii dish isilale

the replies though… :D:D

Rudi nyumbani Baba Mwajuma…
Rudi nyumbani Baba Mwajuma…
Kwa Ktalk ambayo imekunjenga…
Remember that song?