[ATTACH=full]176352[/ATTACH]
Source : TanTrade
[ATTACH=full]176352[/ATTACH]
Source : TanTrade
Okay!..
Jambo jema hasa kwa wajasiriamali,fursa kama hizi sio za kuachia…
Sawa
Nikajua kuna nafasi za kujiunga na boko haram
Si ndio hapo, nulikuwa nataka kuanza kufuga ndevu
Hizo nafasi zipo bwereree, wewe tu
ha ha ha, kamata fursa.
Hahahaha duuh
Siwezi kukaa wala kuishi Nigeria
Kusambaza habari kama hizi unatakiwa uwe na leseni,kwa mujibu wa TCRA:eek:
Sio lazima mpaka Nigeria…
Tanzania yenyewe kuna fursa kibao lakini watu watazijua vipi kama DHALIMU anazima mitandao muhimu kama jf…
Pumbavu sana CCM.
Aende mwijage na cherehani zake kwa mtoto Dangote
Mpaka wametoa nje ya familia za kwao. Ujue cyo dili tena