Gatanga Night

What kind of miwomens am i likely to find there.Today I have to gukururia wa mucii nyumbani

Ile mchele iko uko chunga brathe. Kama utameza your poison funga makali yako na karatasi ukimeza kidogo. Unafunga poa kisha una rudisha kwa mfuko ya mbwenya.

Seal the beer bottle opening with your thumb at all times.

Toboa kifuniko ya chupa na msumari uingishie straw hapo na ukienda urinal beba chupa yako ama uweke kwa mfuko wa shirt

:smiley:

Naweza kupa kazi ya u bodyguard…??

:D:D

@kawambui aka @carbon alienda wapi na zile naps quarter zake? Kama uko area kisniper salimika…

kunywa tu mzinga nyumbani ndio uingie huko ukiwa umelewa u avoid kuwekewa mchele

Wale wamama wanakuanga wamebeba chakula kwa tin ya prestige aka “breki” utaona tu wakizichomoa kwa handbag. Ukiona mwenye amechomoa ile ya kasuku chukua yeye.huyo ni wa kinangop na ameuza viazi gunia 125

Huko tunaenda…

Police Commissioner unaona anaweza fanya kazi ya body guard kumbafff

Boinet amesema ata deal na nyinyi…badilisha mwenendo

With this,lazima utawakunywa…wajipee mushers na wajipreke kwa man hole yako…

[ATTACH=full]207209[/ATTACH]

Huko utakuta malaya wa kuwekea watu mchele kwa wingi, given the fact that ni event ya kisapere!

Starehe ni kukunywa tei huko sio kujificha man cave cayole ndani ya blanketi ya raymonds. Senj chokoraaa