GAWIO LA TTCL

Leo TTCL wanatoa gawio la 1.5 billions kwa serikali… hakika kweli sasa tuna serikali makini…
hongera sana JPM aka chuma, Rudi Nyumbani kumenoga

Sijui kwanini siamini kama hili shirika linajiendesha kwa faida. Nahisi hizo pesa wametoa ili wajionyeshe wanaenda kwa faida. Hata kama wanaenda kwa faida hiyo bado ni gawio dogo sana kwa kampuni kubwa.

Wapi 1.5T?

wanajiendesha kwa faida ndio… na ndio maana zimepartikana hizo hadi kuzitoa kwa Serikali…

Tunasibiri na makanusho au kila mtu aje na figure zake…

Cc: @Mahondaw

SI MLITUAMBIA MKITANGAZA MAPATO MTADAIWA? AU HAYO YA TTCL WAZUNGU HAWAYATAKI

Airtel na Tigo zinanitosha

Ni katika kumpa promo Jiwe!

Tatizo serikali haiaminiki tena hasa linapokuja suala la fedha. Inaweza kuelezwa hivi kumbe ukweli ni tofauti. Danganya toto ni nyingi mno!

usikariri

Huu utoto mnaofanya hata ni aibu kusema mbele ya watu. Juzi Prof Kabudi anasema ukitangaza hadharani hela uliyolipwa kwenye madini watu wanaanza kukudai. Leo mko mubashara mnatangaza vijisenti kama gawio toka kwa kampuni kongwe kama TTCL! Je wale wanaotudai madeni yameisha mpaka leo mtangaze gawio hadharani? Kweli ngozi nyeusi ni shida.

Mzee ana penda TV sana kila kitu haonyeshwe yeye peke yake.

Ttcl hii iliyopo hapa dar tu,na haina hata watumiaji zaidi ya millioni mbili…au wakuu hili gawio linakuwaje,labda mimi sijaelewa…1.5bn

Jizi la 1.5Tril.

[FONT=courier new]Ukinijibu hili swali nitakushukuru sana. Je inakuwaje Serikali inakusanya mapato mengi sana na kila siku inajivunia nayo lakini hadi hivi sasa Maendeleo ya Mtanzania mmoja mmoja hayaakisi hayo mapato tofauti na Mataifa mengine kama Namibia na Botswana? Na kwanini mapato ya Serikali yanaenda ’ anticlockwise ’ na ’ Uhalisia ’ wa Mtanzania ambaye ndiyo alistahili kuila vizuri hiyo Keki na kujivunia nayo kwamba inamkomboa kama siyo imemkomboa?

Nayasubiri majibu yangu tafadhali ili niwahi zangu Kibandani Kula Ugali wangu na Samaki nimpendae ’ Ng’onda '.[/FONT]

Juhudi zake hazina kificho…

Eti gawio. Pumbu zenu na labia majora.

kupika data ni jadi yenu, after all ni sehemu ya propaganda. lakini dunia ya leo ukishapoteza credibility na watu wakagundua wewe ni mwongo (kama tulivyokuja kugundua kumhusu jiwe) basi utapiga propaganda kwa kadri upendavyo lakini wenye akili hawatakuamini

now wanasema watumiaji wako laki 8,wanasema rudi nyumbani kumenoga

Akikujibu naomba uni tag.