Leo najikumbusha hii:
‘Nilikuwa kwa matatu,58 Drama
Pale Tom Mboya,karibu na ludhuli,
kaingia mwanadada,
msichana mrembo,
toka jerichoh,
angalia dada…
Nikampa talk,akanipa more,
Sikumpa doo hakutaka doh,
Nikampa flow akataka show,
Nikampa show,akanipa lowve…’
wenye tunajua chorus…ilikuwa inaendaje?