Enyewe internet ilisaidia sana kuchanua watu. Huko 90's pale muchatha, nilichapiwa vile maboy mateenie, wamepata dem, wakaenda combi, alafu wanashare condom moja...
Enyewe internet ilisaidia sana kuchanua watu. Huko 90's pale muchatha, nilichapiwa vile maboy mateenie, wamepata dem, wakaenda combi, alafu wanashare condom moja...
hii kitu ile ukimwi itapea watu kwanza hii february......first of all imetengenezwa sijui thailand au bangladesh...secondly kuna watu wengi sana wataambukizana during window period....ukipata ukedia leo it will take more than 6weeks ndio iyo antibody test iseme positive.....within hii sex weeks mkipjipima inasema negative but mkikulana mnaambukizana
Dry fry sahii ni noma hakuna haja ya kushikwa na kisununu juu ya kitu ya dakika 45 but my advice is always have one sexual patner ukipata kisununu jua tu aligawa na unamchuja