Gigy money afichua siri kwamba mondi ndie baba wa mtoto wake na sio Mo J

Mwanamuziki na video queen Gigy Money aliyejifungua mwezi uliopita na kuibua gumzo baada ya kuweka wazi kuwa hamjui baba wa mtoto wake kwani kipindi anapata mimba alikuwa anatembea na wanaume wawili ambao ni Mo J na Stan.

Hivi sasa Diva huyo ameibuka na jipya akidai Baba wa mtoto wake pia anaweza kuwa Diamond Platnumz ambaye siku za nyuma zilishawahi kusikika tetesi kuwa aliwahi kuchepuka naye, Mwanadada huyu asieishiwa drama amesema kuwa “Mo J sio Baba wa mtoto nilishasema Baba wa mtoto anaitwa Naseeb Juma Abdul au Diamond ambaye naona bora yeye awe Baba kwa sababu ni Mlezi wa wana alafu na mimi mwenyewe Mlezi wa wana alafu kingine anapenda watoto alafu alishanichanaga G ukizaa we niambie tu kwa wiki shilingi ngapi”.
TOA MAONI YAKO HAPA TAFADHALI

aya aya kishanuka, subiri waje

Mtoto ni wa @MSAGA SUMU, asitafute kiki bure.

@mshana jr anaweza kusema mtoto ni wa nani!

Ahhha hahaha ,naona wajanja wanataka wachukue mwanangu

Kiki kwa pikipiki…

Cc: @Mahondaw

Tutasikia mengi sana. Magu endelea kukaza

Duh

Mmh mondi kawa kimbilio la watu

Cc mpaka huku shemeji mmetishaa

Yajayo yanashangaza

Nilipo yupo, alipo nipo…

Cc: @Mahondaw

Mlezi wa wana sio…ngoja tusubiri hiyo nyimbo mpya

Huyo nae apunguze ufala kishakua mama

Hahahaaa asanteee mpende mshikilie mvumilie msiachane

T

Hiyo mbwambwa ya gigy si itakua km bwawa maana anapigwa sana mboo…

Akipunguza huo ufala atakufa njaa

kuna ufala na kik
kik zake aendelee nazo asife njaa ila huo ufala aache

Shule ndogo nayo ni tatizo kwake pia

Anatafuta kununuliwa nyumba na yeye