Grand Theft Laptops Edishen

Members of the public have been warned against buying a number of laptops that were listed in local dailies on Thursday.

An anonymous advertiser stated that the 1,140 laptops were stolen in May from the Inland Container Depot (ICD) Nairobi.

“This matter has already been reported to the Inland Port Police Station Nairobi under OB No. OB 16/22/05/2019.

“Members of the public are urged not to buy any of the laptops having below serial numbers and if they come across such a laptop, they should report to the nearest police station,” read the advert.

Yeah , right ?

sasa tutajuaje kama hakuna hata bisha ya hio ad

[ATTACH=full]249032[/ATTACH][ATTACH=full]249033[/ATTACH][ATTACH=full]249034[/ATTACH]

Sasa nikitaka kubuy laptop nizunguke na printout ya hizo serial numbers ndio niconfirm si ya wizi?

They are HP , mostly HP 14 and HP 15 models.kama hii hapa

[ATTACH=full]249043[/ATTACH]

Nikipata nanunua.

@Deorro wanaeza Ni track ?

Hiyo list ni ya kuwasaidia kortini…ukishikwa nayo utajitoa na receipt ya kwenye ulibuy.

Ukiweka modem safaricom wanakuseti…

Mpaka All in One ziko , Most probably ni za Reddot or Redington .

[ATTACH=full]249053[/ATTACH]

insurance niya kazi gani?

ile billions kpa wanatumia kununua security systems inakunywa maji tu ivo?

Ukiona mpaka mtu ameweka advert kwa gazeti ujue kuna watu watapatikana wrong side. Hawa akina @snapdragon wanafaa wakulishwe copper wakipatkana

I hope the advert appeared ilisomwa na ng’ombe za musefeni,walevi wa pombe and the giraffes of shortest president of Ruanda.

This means a lot of innocent and naive people will be snared in this.

Those niggers will just print out new labels for those serial numbers. Hapa itabidi uingie Bios setup screen and confirm.

Kwani they can’t change a computer’s ID just like thugs flash phones?

guys,hii stroy na zile empty containers za wabunge same whatsapp group ama?hehe