Haaayyyaaaaaa

Ya mgambooooooo,
Imeliaaaa

Ya mgambo ikiliaa,
Kuna jamboooooooo

Kulikoniiiii???

Duru zinazotufikia zinaarifu kuwa Kenyagen.com inazidi kupamba moto (Hakuna picha ya ikipamba moto)

Kwa Mfanoooo…

1. Interface ya Opera mini

hapo awali ilikuwa ikongea kiChina, sasa iko timaaaaam abadaan…

http://i.imgur.com/KaJAs51.jpg

Ni hayo tuuuu…???

Si hayo tu.

2. Process ya kupost listing on mobile phone
Sasa imerahisishwa. Katika ile page ya kucreate new listing, utapata kuna vidude (ama ukipenda icons) chache tu zile neccessary.
Na process ya kuupload picha pia imerahisishwa kulingana na kitengo cha 2, sehemu ya 5a ya katiba ya Kenyagen

http://i.imgur.com/0CLVqNF.jpg

Ilani: Kwa wanaotumia Opera mini, samahanini kwa sasa bado kuna tashwishi katika hali ya kucreate listing lakini tunashughulikia hali hiyo na tutawajuza pindi itakaporekebishwa. Asanteni kwa uvumilivu wenu

Na zaidiii?..
Kuna mabadiliko mengine kem kem. Na mengine zaidi yaja.
Jiendee Jionee

Wako Mkweli - makala ya paruwanja ya Kenyagen

Kichwa kibofu walijaribu tukakaa ngumu,lakini wacha tukupee mashoga wahuku free of charge.

hah website iko fiti :slight_smile:

lakini huku kwa Michael Fowler ni fom kuruka…

2 Likes

Sijasema watu wahame, lakini habari ndio hiyo. Mbona watu wanapapatika ovyo ovyo? Wacha tungojee uamuzi wa wananichi

The website hiko poa, shida tu ni wanakijiji washa settle huku

3 Likes

Old monkey,kwani wewe ni share holder kenyangay?mbona unangoa post yangu,isipokuwa hata wewe ni suspect

Bribe us we join :smiley:

What sense would it make if all the talkers registered there.What would we post, the same stuff we do here?I guess you should be concentrating on drawing a very different crowd to your site.

Labda iwe ya ngono ya kinyumbani(local)

1 Like

Freedom of choice. Variety

hatukuji

Hehehe… La Hawla means “there is no power”

I would join but i couldn`t be bothered to fill another application form kwa hivyo tunawaomba wapinzani wetu wavuke sakafu mwendo wa aste aste waje tuungane pamoja upande huu wa KTalk.

You remember hizo debates , na za kiswahili zilikuwa zinaitwa je

Hehehhee… Ilikuwa inaitwa Sanaa ya Kiswahili, and there used to be an English version.

Kwanza ningependa kumkosoa mpinzani wangu aliye kuja hapa na kujaribu kutuvisha kilemba cha ukoka…

The english version used to be chaired by our headmaster Mr Njuguna…never used to miss that

@Ka-Buda sijaribu kuwavisha kilemba cha ukoka but the thing is, registration is just a one time thing and on average the process is simpler than say creating & posting a listing. So right now focus is on making the site exciting enough to make it worth your (or anyone’s) while to make the sacrifice of filling in the “tedious” form. But we’re looking into it i.e. simplifying the process, going forward

Anyway thanks to y’all who have given their feedback. Kazi inaendelea, na bado itaendelea - learning new things every day

tuko hapa changwani tukingoja kenyanlist yetu irudi kwa hivo hakuna haja kutupa tuvuti mbadala kwa sababu wanakijiji wote wako hapa na tuvuti hili linatosheleza mahitaji yangu yote kimafunzo, kidini, kiburudani na ata kingono.

1 Like

CHUKUA KINA @Supu don , @junkie , @aviator , @Njamba Huthu AND OTHER HOMOS, SISI HATUKUJI KENYANGAY

3 Likes

Mdahalo