2. Process ya kupost listing on mobile phone
Sasa imerahisishwa. Katika ile page ya kucreate new listing, utapata kuna vidude (ama ukipenda icons) chache tu zile neccessary.
Na process ya kuupload picha pia imerahisishwa kulingana na kitengo cha 2, sehemu ya 5a ya katiba ya Kenyagen
Ilani: Kwa wanaotumia Opera mini, samahanini kwa sasa bado kuna tashwishi katika hali ya kucreate listing lakini tunashughulikia hali hiyo na tutawajuza pindi itakaporekebishwa. Asanteni kwa uvumilivu wenu
Na zaidiii?..
Kuna mabadiliko mengine kem kem. Na mengine zaidi yaja.
Jiendee Jionee
What sense would it make if all the talkers registered there.What would we post, the same stuff we do here?I guess you should be concentrating on drawing a very different crowd to your site.
I would join but i couldn`t be bothered to fill another application form kwa hivyo tunawaomba wapinzani wetu wavuke sakafu mwendo wa aste aste waje tuungane pamoja upande huu wa KTalk.
@Ka-Buda sijaribu kuwavisha kilemba cha ukoka but the thing is, registration is just a one time thing and on average the process is simpler than say creating & posting a listing. So right now focus is on making the site exciting enough to make it worth your (or anyone’s) while to make the sacrifice of filling in the “tedious” form. But we’re looking into it i.e. simplifying the process, going forward
Anyway thanks to y’all who have given their feedback. Kazi inaendelea, na bado itaendelea - learning new things every day
tuko hapa changwani tukingoja kenyanlist yetu irudi kwa hivo hakuna haja kutupa tuvuti mbadala kwa sababu wanakijiji wote wako hapa na tuvuti hili linatosheleza mahitaji yangu yote kimafunzo, kidini, kiburudani na ata kingono.