Leo siku ya 5 haiko hewani na ndio mtandao uliokuwa stable kwa maeneo haya .
Vipi huko kwenu
Je ttcl ipo vizuri nchi nzima?
Leo siku ya 5 haiko hewani na ndio mtandao uliokuwa stable kwa maeneo haya .
Vipi huko kwenu
Je ttcl ipo vizuri nchi nzima?
Itakuwa haiko hewani kwa eneo ulilopo mimi hapa inasoma japo situmii kwa internet.
Tttcl ndio natumi ila speed yake iko ndogo sana like konokono.
speed yake iko ndogo sana like konokono.:D:D:D:D:D
Huku voda majanga mwendo wa Fiat
Iko vizuri huku kwetu…
Basi ina shida sehemu. Labda
Kitambo.
Upo namkuku nini mbona mimi yangu fresh tu
Upwapi?
mkuu hilo li ttcl nilijua ni kwangu tuu.yn linaboha hg natamani kutupa hili limoderm
Halotel mbona ipo hewan muda wote
Hivi ttcl ni kweli sasa hivi wanapatikana Tz yote?
Mbona iko Poa mkuu Angalia na settings za simu yako huenda Ni Tecno…Samahani lakini:p:p
ndo wamewasha leo rudi nyumbani mkuu kumenoga
Acha kuzarau simu pendwa kabisa ya watanzania
Ha ha haa
Inaonekana ni hili eneo lilipo kunashida
Labda mnara umecheza
Acha uzushi mkuu mbona Mimi Niko huku mkoa natumia halotel mpaka kwenye video streaming iko na speed ya light?
Tupa SIM card yao sawa.
:D:D ndio maana nikatanguliza Samahani mkuu
Au hilo ni eneo ambalo hadi upande juu ya mti…