Hamis Kigwangalla, haya maneno umeandikiwa? Siamini kama ni yako

[MEDIA=twitter]1009004201614114816[/MEDIA]

Zungumza haya mbele ya Magu uone

Bosi wake ni follower wake, hivyo tayari ujumbe umemfikia

Who was it aliewaambia ccm kuwa wanatumia muda mrefu sana kuelewa wanachoambiwa? Mtu akiwaambia hoja ya maana leo wao wataipinga kwa nguvu zao zote lakini miaka 10 baadae wanaanza kuongea kitu kile kile wakijifanya wao ndio wamekianzisha. Kigwangala kaanza kuelewa baadhi ya mambo.

Dakatari wa wanadamu waziri wa Mali Asili na utalii. Dr wa mikorosho rais wa nchi. Yanawezekana Tanzania tu. Kali zaidi mtu hajawahi kuwa kiongozi wa shina la CCM sasa ni mwenyekiti wa taifa wa ccm. TUNALO HILO

Watajuana wenyewe!

Ngoja nikamtonye jiwe,

Wamedukua akaunti yake

Naona wanaanza kumpinga boss wao

Taratibu tunaanza kuziona rangi zao

Hakawii kuuukana huo ujumbe na kusema account imedukuliwa

Ni hisia za ajabu sana kudhani utajiri ni kosa!!!

ngoja leo nisikilize taarifa ya habari saa 2, certainly you are going to be sacked today. your boss dreams of building a nation of destitutes and devils, you come out scribbling challenging statement?

Nasubiri barua toka kwa Gerson Msigwa

Ngoja hii twirra nii-forward kwa jiwe kama kesho hamjasikia limemtumbua!! Yaani analiambuia kwamba lina mentality za hovyo? Au kwa maneno rahisi lina mentality za kijinga? Hiiiiiiiii, amechoka kula huyu!!

Sasa mkuu hiyo barua utaiona wapi? Maana na yeye amefungiwa nje, walifikri wakifunga JF ni sisi ndio tutaumia!

Waache wafu wazikane wenyewe!

Huyu ni mmoja kati ya vijana wake wa nyumbani ambao wamepata kipaumbele. Hivyo anazungumza akitambua kuwa kuwajibishwa kwake kuko mbali kwa sababu makosa kwa mzee hutendwa na wale wasiotoka kanda yake.

mesegi senti n delivad

Bado teknolojia inawala licha ya kutunga sheria ngumu na kandamizi,maana maandishi Hayo boss wake hapendi kuyasoma
Naona huyu kasahau boss wake anapenda nini?

forum imetuokoa hii, vinginevyo tungekua hoi.