Natumai mko salama ubheri wa afya. nawatakia usiku mwanana…
[ATTACH=full]90486[/ATTACH] karibu sana
karis unasumbua…
…Na Uwache kujifanya @ng’ombe
@admin unaeza acha kuchukua new members for the next three months ukipigwa mstari unakaa nje mpaka unasahau ktalk.Ii kupiga mstari mtu anarudi na handle mpya the next day
Shukran lakini hapo skai
sultan mwitu, unaona bibi chako hapa ??
Niaje Sultan Mwitu
hehe kiti iko sawa
Mbona siwaelewi??
utaelewa tu ukipigwa mstari
Salama salmin kakangu. Lakini mimi si mwitu, ila sultan 001 originali mwenyewe
Ulipata chakula leo, ama uliamua heri Bundles…tena…
Mke wangu nipo nae hapa kitandani yuaniviringishia tu kama kawa
sawa bwana swidfil maakanje. sasa tulia hapo ungoje viti na orientation pale rm 254
Kwangu chakula kipo tele…
Sawa kaka. Nakusubiri hapo kwenye mlango wa hicho chumba cha orientesheni
Hebu tuelezee tatoo ya ubeti challo imechorwa tako lipi, na ni picha ya nani?
Skuelewi kaka!! Kwani we shoga ama? Mbona waulizia micharazo kwenye makalio yangu??