Hangover Killer

Now This is a meal

[ATTACH=full]7198[/ATTACH]

[ATTACH=full]7199[/ATTACH]

1 Like

Naona kuna bike apo kando kumbe ata wewe ni mtu wa cheki maneno

na una macho kweli

@DO_IT = @The.Black.Templar = @Meria Mata

hapana mwenyewe, kwanza leo niko sabina joy mbaya, naandalia mapoko bash

2 Likes

Chali yetu ameenda job kwa hoteli za wenyewe sasa kazi ni kupiga picha za breakfast sasa.Hii ni hujuma sasa.

nimeitwa nairobi za juu nakubali sijawahi ona karamu kama hii, lazima picha nipige

1 Like

msalimu sana Vivian ukimwona, ukimkosa basi judy, ukimkosa judy basi lucy ukimkosa lucy basi ann, ukimkosa ann stacy, ukimkosa stacy zippy, ukimkosa zippy Maryanne, ukimkosa Maryanne betty…ukiwakosa hawa basi hiyo sio sj

1 Like

sawa sawa watasalimu tarimbo langu

1 Like

Where is this?

Karen Blixen lakini hii ilikua pre ordered sijui kama iko kwa menu

1 Like

mmmh

Boss, hizi chakula zote kwa mpigo. Siutahara ujisahau.

1 Like

Waah. Una mapoko kwa speed dial nini? Inafaa uwe pimp sasa.

hehehe…no, I cant b a pimp. infact am working towards reforming myself as per @Purr_27 n @Unicorn 's advice

2 Likes

Hehe would have totally missed that bike

Mandazi na kachumbari eti ndio meal…dondo chapo ndio meal

hiyo si mandazi

Najua utazipatia a complicated name to make them seem unusual…