hapa tu ni masweep tu

:oops::oops::eek::eek::D:D:([ATTACH=full]134392[/ATTACH]

Niliona bado nikiwa na six pack.

Niliona nkichat through smoke signal

Wakati IEBC ilikua inaitwa ECK

Kabla Demi na Mathathi wakutane

Hii tuliona wakati kapenguria 6 walikuwa njiani kwenda kapenguria

Tukiinvent the first light bulb

kabla nifike kisumu for the 1st time

Kabla Saul(Paul) hajue hujui

Kabla johna amezwe na whale

Baada ya…

just after apple ikwame kwa esophagus ya Adam ndio ajue hajui

tukiwatch news na luanda magere

kabla wajue kupika zipusi kutoka kwa waru